Kambi Walizopangiwa Form Six Mafunzo ya JKT 2026

Hizi hapa ni Kambi Walizopangiwa Form Six Mafunzo ya JKT 2026

Vijana hao wameangwa katika Kambi za JKT zifuatazo;

 1. Rwamkoma JKT–Mara

 2. Msange JKT-Tabora

 3. Ruvu JKT na Kibiti JKT-Pwani

 4. Mpwapwa JKT na Makutupora JKT-Dodoma

 5. Mafinga JKT-Iringa

 6. Mlale JKT-Ruvuma

 7. Mgambo JKT na Maramba JKT-Tanga

 8. Makuyuni JKT na Oljoro JKT-Arusha

 9. Bulombora JKT, Kanembwa JKT na Mtabila JKT–Kigoma

 10. Itaka JKT-Songwe

 11. Luwa JKT na Milundikwa JKT–Rukwa

 12. Nachingwea JKT- Lindi

 13. Chuo cha Uongozi JKT (CUJKT) Kimbiji- Dar es Salaam.


Post a Comment

Previous Post Next Post